Hawa ni wanachama wa CHADEMA wakiwa wanapanga mikakati yao kuhusu Opareshie UKUTA..
Polisi nawao pia wakiwa katika Maandalizi ya kupambana na UKUTA SEPTEMBER 1...
KILA UPANDE WANASEMA TUKUTANE SEPTEMBER 1 na Muungwana Blog inasema pia Tukutane September 1 kwani nasisi tumejipanga kuwaletea kila kitu kitakacho jiri siku hiyo...