Dar es Salaam. Rais John Magufuli ameitaka menejimeti ya ATCL isiruhusu viongozi wa serikali wakasafiri bure.
Ameyasema hayo katika uzinduzi wa ndege mbili za Bombadier Q 400 na kuitaka kuacha kutumia mawakala kukatisha tiketi na badala yake itumie njia nyingine.