Meya wa Temeke Abdallah Chaurembo.
Chaurembo akiwa katika tukio hilo leo, alisema mgawanyo huo umetokana na hatua ya serikali kuongeza wilaya za Ubungo na Kigamboni na kusema kuwa baadhi ya madiwani watabaki Temeke na wengine watakwenda Kigamboni.
Kwa sasa manispaa ya Kinondoni imeshagawanywa na kata 20 kati ya 34 zimebaki Kinondoni na kata 14 zipo Ubungo.