Twaweza waibuka na Utafiti kuhusu Jeshi la Polisi



Taasisi huria ya Tafiti Nchini Twaweza wanataraji kutoa majibu utafiti Mpya unaohusu usalama wa Nchi pamoja na Jeshi la Polisi.

Utafiti huo unatarajiwa kutolewa majibu kesho Tarehe 27, Julia , kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Posta Jijini Dar es Salaam.

Msemaji Mwendeshaji ni Aidan Eyakuze wa Twaweza, wasemaji waalikwa ni Msemaji wa Jeshi la Polisi Nchini Barnabas Mwakalukwa na Mwandishi wa habari  Mkongwe Richardz Mgamba.