https://monetag.com/?ref_id=TTIb Waziri Mwakyembe Alivyomuacha mkewe 'ICU' akaenda kwa Saida Karoli | Muungwana BLOG

Waziri Mwakyembe Alivyomuacha mkewe 'ICU' akaenda kwa Saida Karoli

Usiku wa July 7 2017 mwimbaji wa mziki wa asili, Saida Karoli alikutana na mashabiki wake kwenye miaka 15 ya kusimama kuanguka na kuamka tena ya Saida Karoli ambapo wasanii mbalimbali, watu maarufu pamoja na mashabiki walijumuika naye Escape one Jijini DSM huku mgeni rasmi akiwa waziri wa Sanaa Mh Harisson Mwakyembe.

Kwenye kusalimia watu Mh. Mwakyembe alisema kuwa mkewe alikuwa na hali mbaya hospitali ICU ila kwa kuheshimu mchango wa Saida Karoli kwenye muziki wa Tanzania yeye na mkewe waliona ni vyema ahudhurie kwenye tamasha hilo.