Breaking Newz: Rais Magufuli amteua Dkt Wilbroad Slaa kuwa Balozi

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amteua Dkt. Wilbrod Peter Slaa kuwa Balozi.

Uteuzi wa Dkt Wilbroad Slaa umefanyika leo Novemba 23 ambapo anategemea kuapishwa baada ya utaratibu kukamilika.

Dkt Slaa aliwahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA na mwaka 2015 karibu na kipindi cha uchaguzi alitangaza kuachana na siasa.