Mwanafunzi huyo alijeruhiwa na mlipuko huo alipokua anatoa maelezo ya kifaa ambacho walikitengeneza mfano wa kifaru cha jeshi kinacholipua mabomu, kwa Katibu Tawala Mkoa, Theresia Mmbando hivyo kwa bahati mbaya kililipuka na kumjeruhi na kukimbizwa hospitali ya Temeke kupatiwa matibabu.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...... USISAHAU KUSUBSCRIBE