Polepole: Kaanze kumtukana Babako


Leo April 22, 2018 Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi, Humphrey Polepole amewataka baadhi ya watu wanaokaa kutuhumu kuwa Rais amelisababishia Taifa hasara kuacha kwani wakiomba wathibitishe wengi usema ulikuwa ni mjadala Twitter.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Polepole ameandika “Ukimtuhumu Rais amelisababishia hasara Taifa ukaombwa uthibitishe utaweza au utasema yalikuwa tu majadiliano ya twita baada ya chakula cha mchana?”

“Huko barabarani defamation ni kosa kubwa, lakini mbona mnataka viongozi wetu wadhalilishwe kisha tukae kimya, kaanze kumtukana babako” -Polepole