Inaelezwa kuwa T.I aliwashambulisha walinzi hao Mei 28, 2018 a Shtaka hilo lililfunguliwa July mwaka huu ikiwa ni miezi miwili baada ya kutokea.
Licha ya shtaka hilo kufutwa, T.I. bado anakabiliwa na makosa mawili: Kulewa hadharani pamoja na mwenendo mbaya wa tabia. Rapper huyo alikuwa akishtakiwa kwa kosa la kuwashambulia walinzi hao huku akiwa amelewa kupitiliza.