Watu watatu waripotiwa kufariki kutokana na mvua kali zilizosababisha mafuriko yaliopelekea maafa nchini Ufaransa.
Mafuriki hayo yametokea katika eneo la Aube Kusini mwa Ufaransa.
Kulingana na taarifa zilizotolewa na uongpozi wa eneo hilo, watu watatu wamefariki katika mjini Villardonnel na Villegailhenc.
Mvua kali ambazo zmenyesha katika maeneo hayo zimepelekea maji kujaa urefu wa mita moja na nusu.
Hali ya dharura imetangazwa katika eneo zima la Aube.