Msomali na Mpalestina wachaguliwa kuingia katika bunge la Marekani

 Baada ya zoezi la uchaguzi Marekani, chama cha rais Donald Trump kinaongoza katika baraza la seneti huku chama cha ”Republican” kikiongoza  bunge la wawakilishi.

Kwa mra ya kwanza nchini Marekani, wanawake wawili wakiwa wenye imani ya uislamu  kutoka Somalia na Palestina  wameshinda katika uchaguzi  na kuingia katika  bunge la Marekani.

Rashida Tlaib ana asili ya Palestina, baba yake  alikimbia Palestina ambapo alikuwa akiishi Beit Hanina na kuomba hifadhi nchini Nicaragua na baada ya muda  alianza maisha yake mapya katika jimbo la Michigan Marekani.

Rashida Tlaib alizaliwa Julai 24 mwaka 1976 Detroit nchini Marekani.

Ilhan alimshinda kwa kishindo mgombea mwenza Jenniffer Zilienski kwa asilimia  zaidi ya 70.