Polisi mkoani Manyara inamshikilia mtu mmoja aliejitambulisha kama askari wa jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) Monduli kwa tuhuma za kusafirisha dawa za kulevya aina ya Mirungi bunda 60 sawa na kilo 20.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara , Agustino Senga alimtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Abdul Bashiri Ali (25) mkazi wa Monduli.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI..........USISAHAU KUSUBSCRIBE........