Swali linakuja je , wasanii wanajua kuwa yeye ndio mlezi wao wa nyimbo za injili, jibu tunalipata kwa wasanii wenyewe kuhusu kiongozi wao huyo.
Mwanahabari Hassan Ngoma alipata fursa ya kuuliza swali hilo kwa msanii Paul Clement alipokuwa katika mahojiano asubuhi ndani ya 360 ya clouds media, na mwanainjili huyo alikata na kusema kuwa kwa upande wake yeye kiongozi wake sio Emmanuel Mbasha bali ni mchungaji wake.
Paul anasema”Mmmh hapana , mimi mlezi wangu wa injili ni mchungaji wangu “