Timu ya Simba SC leo Disemba 6 imetua uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere wakitokea nchini Swaziland kwenye mchezo wa marudiano zidi ya Mbabane Swallows ambapo Simba ilishinda goli 4 - 0
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE