Msanii wa Muziki, Bongo amekiri ushamba wa kuwa na mtoto baada ya mpenzi wake kujifungua mtoto.
Beka amesema kuwa mtoto wake huyo hajakuja kwa bahati mbaya amemfurahia na anampenda mwanae.
Beka na Mpenzi wake, Happy mtoto wao mpaka sasa anakaribia kutimiza miaka mitatu tangu azaliwe.