Faida tano (5) za kuoa au kuolewa na mtu sahihi


Je unajua kuwa swala la ndoa lina nafasi kubwa sana katika swala la wewe kuishi ndoto zako? Ukifanya uamuzi mzuri katika swala la ndoa utapa mwenzi ambaye hatokuwa mzigo na kikwazo kwako katika kuishi ndoto zako.

Zifutazo ndizo faida za kuoa au kuolewa na mtu sahihi.


  1. Atakujali na kukutia moyo kila wakati.
  2. Mtapanga mipango mbali mbali ya maendeleo pamoja.
  3. Mtasaidiana na kutiana moyo wakati wa shida.
  4. Mtahamasishana ili kuhakikisha mnafikia ndoto zenu.
  5. Atakusaidia kutimiza majukumu na mipango mbalimbali.


Ikiwa basi hukupata mtu stahiki katika ndoa, faida hizo hapo juu zitakuwa kinyume chake na mtokeo yake utakosa furaha na kuishi masha ya mahangaiko ambayo katu hutofikia ndoto zako.