Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa Mkoa wa Arusha (TAKUKURU) imeanzisha uchunguzi kwenye mradi wa maji uliopo katika Kijiji cha Digodigo kichopo wilaya ya Ngorongoro wenye thamani ya shilingi million 527 baada ya kubaini kasoro zilizojitokeza katika taratibu za manunuzi zilizotumika katika kumpata mzabuni.
TAZAMA FULL VIDEO HAA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE