Rai imetolewa kwa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kukaa mbali na viongozi wa vyama vya siasa pindi watakapoenda bungeni kupeleka maoni ya mswada wa vya vya siasa ili kuwashawishi wabunge wote kwa nia njema ya taifa.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.....USISAHAU KUSUBSCRIBE