Mbunge wa Babati Mjini [CCM] Paulina Gekul amezungumza baada ya mwenyekiti wa Halmashauri ya mji wa Babati Mohammedi Kibiki [CHADEMA] kuvuliwa uenyekiti.
Akizungumza na Muungwana Tv kwa upande wake ameona ni sahihi hatua iliyochukuliwa na madiwani akiwemo yeye kama diwani.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI........USISAHAU.......KUSUBSCRIBE.........