Leo Februari 21, mwaka 2019 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemtembelea na kumjulia hali msanii wa muziki wa injili, Pascal Cassian na kusema kuwa jukumu la kuangalia wapi atatibiwa amewaachia madaktari wanaoendelea kumpima.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE