Kocha wa Simba Patrick Aussems amefunguka kuhusu matokeo ya ushindi wa mabao 3-0 aliyoyapata kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara dhidi ya Mwadui. Pia kocha huyo amezungumzia kuhusu michezo yao saba ya viporo iliyobakia.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE