Watu 7 wauawa katika mlipuko wa lori la kuafirishaia mafuta katika kitongoji cha Awka nchini Nigeria.
Watu 7 waripotiwa kufariki na wengine wengi kujeruhiwa katika ajli ya lori la kusafirishia mafuta iliotokea katika eneo la Awka nchini Nigeria.
Lori hilo la kusafiria mafuta limelipuka na kupelekea maafa hayo.
Msemaji wa jeshi la Polisi Anambra kwa jina la Haruna Muhammes amefahamisha kuwa ajali hiyo imetokea katika eneo Awka na kusababisha vifo vya watu 7 na kuwajeruhi wengine wengi.
Kikosi cha zima moto kumedhibiti moto uliotokea katika ajli hiyo huku watu walioathirika na ajali hiyo kupelekwa katika hospityali tofauti ambazo zinapatikana karibu ya eneo la tukio.