Katika mchezo huo Mbao FC ndio walikuwa wakwanza kupata bao kupitia kwa Ndaki Robert dakika ya 45 na kwa upande wa Yanga Heritier Makambo aliisawazishia klabu yake dakika ya 50 wakati lile la ushindi lilifungwa na Amis Tambwe dakika ya 68.
https://monetag.com/?ref_id=TTIb