Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simoni Sirro |
Nao baadhi ya wadau wa maendeleo ambao wameshiriki katika kutatua chamgamoto hiyo wamesema changamoto ya ukosefu wa vyoo katika mahabusu za vituo vya polisi bado ni kubwa huku wakichangia mifuko ya saruji,mchanga na nondo kwa ajili ya ujenzi.
Maabusu ya wilaya ya Shinyanga ni miongoni mwa maabusu zinazotumia mfumo wa zamani wa uondoshaji wa kinyesi katika maabusu hzo kwa kutumia ndoo ambapo ujenzi huo utakapokamilika utarahisisha mfumo wa uondoshaji wa majitaka.