Mbunge wa viti maalumu (CHADEMA)Mh,Upendo Peneza amedai kuwa katibu mwenezi wa CCM ndugu Polepole amekuwa akiwadhalilisha wabunge wa viti maalumu CHADEMA kuwa wabunge hao kupata nafasi hiyo ni lazima watoe rushwa ya ngono kwa viongozi wao
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USIKOSE KU-SUBSCRIBE