LIVE: BREAKING,Watekaji wa Mdude wamtaja Mbowe na Tundu Lissu, asimulia A-Z alivyotekwa


Mwanaharakati na Kada wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mdude Nyagali 'Mdude Chadema' ameelezea matuko yaliopelekea hadi kutekwa kwake kwa siku tatu kabla ya kujipata porini katika eneo la Mbeya ni pamoja na kuwa mkosoaji mkubwa katika mitandao ya Kijamii wa Serikali ya Rais Magufuli.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE