Picha: Maafa baada ya mabweni shule ya Ashira mkoani Kilimanjaro kuugua moto


Mwonekano wa Sehemu ya maafa yaliyosababishwa na moto uliounguza mabweni ya shule ya wasichana ya Ashira Marangu mkoani Kilimanjaro leo. Wanafunzi wa shule hiyo wote wapo salama.