Mwanasheria Fatma Karume amesema kuwa wanasiasa wengi ni wanafiki kwa kuwa kile wanachokisema siyo kinachofanyika hivyo kuna haja ya kuwafuatilia wanasiasa nyendo zao katika utekelezaji wa majukumu.
ANGALIA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE