Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi na mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Rwanda, Mukabalisa Donatille. Mazungumzo yao yalifanyika katika Ofisi ndogo za Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki zilizopo jijini Dar es Salaam