Watu 6 wameripotiwa kufariki na wengine 108 wamejeruhiwa miongoni mwao wanne wamejeruhiwa vikali kutokana na dhoruba kali iliotokea nchini Ugiriki.
Kituo cha runinga cha taifa cha ERT kimesema kuwa upepo mkali umekumba eneo la Kaskazini, eneo ambalo ni kivutio kwa watalii.