TFF yamtangaza atakaye kinoa kikosi cha Taifa Stars

Kikao cha Kamati ya dharura cha Kamati ya utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ambacho kimekutana leo,kimemtangaza Kocha Mkuu wa Azam Ndayiragije Etienne  kuwa Kaimu Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars.