Mwenyekiti wa umoja wa vijana taifa (UVCCM) Kheri James amesema kuwa chama cha CCM bado kinasafari ndefu ya kuongoza nchii kwasababu dhamira yake ni watu na kwa kudhihirisha hilo amesema kuwa CCM iliweza kuzisaidia nchi nyingi afrika katika kupata uhuru na kusema kuwa kuwepo kwa CHADEMA na CUF ni huruma ya CCM
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE BKU-SUBSCRIBE....