VIDEO: Majmbazi 7 wanaswa Dar, gari linalohuisika na ulifu lawekwa chini ya ulinzi


Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam linawashikilia watu saba kwa tuhuma za wizi wa bajaji maeneo ya Ukonga.

Akizungumza na waandishi wa habari Kamanda wa kanda maalum ya Dar es salaam, Lazaro Mambosasa amesema watuhumiwa hao walivunja maduka matatu na kufanikiwa kuiba bidhaa mbalimbali, fedha pamoja na bajaji mbili zenye namba za usajili MC 312 CFB aina ya TVS na MC 540 CED aina ya TVS zote zikiwa na rangi ya bluu.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE