Said Kione anaesadikiwa kuiba ndoo mbili za lita 20, za maziwa fresh jana eneo la Miyomboni, Iringa amepewa adhabu ya kunywa ndoo zote mbili za maziwa aliyoiba badala ya kupelekwa polisi baada ya kudai kuwa alilazimika kuiba kutokana na njaa na hamu ya maziwa hayo.