Majeruhi wa ajali ya moto iliyotokea Mkoani Morogoro wamebakia 18 ambapo wote wapo ICU.
ICU (1,2) Mwaisela wapo 14, HDU Mwaisela (3), ICU ya watoto (PICU-1)
HDU-MWAISELA (3)
Majeruhi mmoja aitwae Rosijo Mollel (35) alifariki jana mchana saa nane na Neema ShabaniChakachaka (30) amefariki saa 11:30 alfajiri ya leo ambaye alilaza ICU iliyopo jengo la wazazi.
Kwa hiyo kati ya 47 waliopokelewa 29 wamefariki, wamebaki 18.