Madereva Daladala zinazofanya kazi katikati ya Jiji la Dodoma wamegoma kuendelea na kazi ya kusafirisha abiri, wakishinikiza kuondolewa kwa wafanya biashara wadogo wadogo maarufu kama machinga kuondolewa katika eneo hilo kwani hawafanyi kazi kwa uhuru
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USIKOSE KU-SUBSCRIBE