Baada ya simba SC kushinda Ngao ya Jamii kwa mara ya tatu mfrulu;lizo Jumamosi iliyopita katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam kwa kuwafunga Azam FC mabao 4-2, mashabiki wa timu hiyo kutoka mkoa wa Manyara wametema cheche kwa kudai watabeba kila kombe wanalokutana nalo mbele yao kwa miaka 10 mfululizo.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI....USISAHAU KUSUBSCRIBE