Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas akiwa na Kamati Ndogo Ya Vyombo Ulinzi Na Usalama wakiteta jambo baada ya kumaliza kukagua moja ya kipenyo cha Mtipesa ambacho kilichopo mkoani Mtwara mpakani mwa Tanzania na Msumbiji. (PICHA NA JESHI LA POLISI)
Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas, akiwa katika moja ya mitumbwi eneo la Kihanga Mkoani Mtwara inayotumiwa na raia kuvusha watanzania wanaoelekea nchini Msumbiji katika shughuli za kujipatia kipato ila wengi wanaotumia usafiri huo ni wakulima (PICHA NA JESHI LA POLISI)