Mtu mmoja anayefanya kazi ya kuokota chupa za plastiki amefariki dunia baada ya kusombwa na maji ya mvua kwenye daraja la Jangwani jijini Dar es Salaam. DC wa Ilala, Sophia Mjema amethibitisha
Katika picha ni Mkuu wa wa wilaya Ilala, Sophia Mjema akiwa kwenye zoezi la uokoaji. Zoezi hilo lilifanyika kwa ushirikiano na Jeshi la Zimamoto na Uokoaji.