https://monetag.com/?ref_id=TTIb Indonesia yakumbwa na tetemeko la ardhi | Muungwana BLOG

Indonesia yakumbwa na tetemeko la ardhi

Tetemeko la ardhi lenye kubwa wa 5.9 limetokea katika jimbo la Maluku Kaskazini mwa Indonesia.

Kulingana na kituo che kurekodi matetemeko ya ardhi nchini humo,tetemeko hilo limefikia kina cha kilomita 83 katika eneo la Jailolo lenye umbali wa kilomita 66 kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Kulingana na uamuzi wa awali wa tetemeko hilo, hakuna aliyepoteza maisha katika tetemeko.

Hakuna onyo la tsunami lililotolewa.