WAziri wa Maji Prof. Makame Mbarawa amesisitiza kuwa serikali imejipanga kutatua kero za maji huku akiwataka Wahandisi wa Mamlaka za Maji kuhakikisha wanaongeza mitandao ya maji kwa wananchi na kuwataka kusimamia ukusanyaji wa mapato yatokanayo na maji na kuwaonya wataalamu wa kusoma mita za maji kuhakikisha wanafanya kwa waaminifu
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE