Serikali ya china imeahidi kuendelea kushirikiana na serikali ya Tanzania kukabiliana na vitendo vya ujangili wa wanyama waliopo katika hatari ya kutoweka Duniani wakiwemo faru na Tembo katika hifadhi mbalimbali hapa nchini .
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE