Baadhi ya majeruhi watano baada ambao wamenusurika kwenye tukio lililozua taharuki baada ya mtu mmoja anayesadikika kuwa ni mmoja kati ya wafungwa waliotoka jera kwa msamaha wa Rais kuwavamia na kuwashambulia kwa kuwachoma visu katika maeneo mbalimbali ya mwili katika eneo la stand kuu ya mabasi Bukoba wameeleza tukio hilo ambalo limesababisha vifa vya watu wawili.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI........USISAHAU KUSUBSCRIBE