Mkuu wa wilaya ya Morogoro Regina Chonjo ametoa siku mbili kukamatwa mkandarasi wa kampuni ya Fast Construction Limited ya jijini Dar es alaam anayetekeleza ujenzi wa mradi wa kituo cha daladala cha Kaloleni manipaa ya Morogoro baada ya mkandarasi huyo kushindwa kukamilisha matakwa ya mkataba licha ya kuchukua milioni mia moja na nane lakini hadi sasa ameshajenga kwa asilimia kumi na tano tuu huku zikisalia siku mbili akabidhi mradi kwa serikali.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE