VIDEO: Nyalandu alipuka, asimulia alivyopigiwa simu na Rais mstaafu Kikwete


Mwenyekiti wa Chama cha Democrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya kati Lazaro Nyarandu amesema kama Chama Kanda ya kati wamejiimarisha kuhakikisha wanashinda ubunge katika jimbo la Dodoma Mjini, na miji yote iliyokatika kanda hiyo na hawatakubali kuyumbishwa na kitu chochote.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI........USISAHAU KUSUBSCRIBE