VIDEO: Saa 3 za kuzimwa laini za simu, kauli ya Rais Magufuli, na wachumi/wananchi walia


Ikiwa zimebaki saa chache kuzimwa laini ambazo hazijasajiliwa kwa alama za vidole, wananchi wameendelea kuiomba serikali kuangalia namna ya kuwasaidi huku ikikumbukwa siku chache zilizopita Rais Magufuli alitoa tamko la kuitaka Mamlaka ya mawasiliano TCRA nchini kuzima laini hizo ifikapo Januari 20 saa sita usiku .

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI......USISAHAU KUSUBSCRIBE