VIDEO: ACT wazalendo wamshangaa Sumaye kurudi CCM


Vyama vya upinzani vimetakiwa kuwa makini na kuwachuja wanasiasa wanaotoka chama tawala hasa wale waliowahi kuwa na madaraka na kushiriki kuwahujumu wapinzani na kuwaminya kwakuwa hawawezi kubadilika na kuwa wazuri kwa wapinzani.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE