Wakala wa huduma za misitu TFS Kanda ya Magharibi, Mamlaka ya usimamizi wa wanyamapori TAWA na Mamlaka ya hifadhi za taifa TANAPA wamepewa wiki mbili kuhakikisha wanaainamisha maeneo ya mipaka ya hifadhi za taifa zilipoanzishwa hivi karibu.
Kauli hiyo imetolewa na waziri wa maliasili Dr Hamisi Kigwangala baada ya kuwasili Mkoani Tabora alipokuwa akizungumza na viongozi wa taasisi zilizo chini ya wizara yake huku akisisitiza kuanishwa kwa mipaka hiyo ili kuondoa migogoro baina yao na wananchi.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI...USISAHAU KU SUBSCRIBE