“Wagonjwa wa corona Tanzania wamefikia 12, wanne ni Raia wa nje na wanane ni Raia wa Tanzania, kwa bahati nzuri wote wanaendelea vizuri, hatuna kifo na hata mgonjwa wa kwanza wa corona Tanzania kutoka Arusha (Isabela) amepimwa na kukutwa negative”- Rais Magufuli.
TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE