VIDEO: Mfanyabiashara afariki kwa presha baada ya kushuhudia mali zake zikiteketea kwa moto soko la Samunge


Jeshi la Polisi jijini Arusha limetoa taarifa ya athari zilizojitokeza baada ya kutokea ajali ya moto katika Soko la Samunge jijini hapo.

TAZAMA FULL VIDEO HAPA CHINI.......USISAHAU KUSUBSCRIBE